Tazama ajali ilivyokwamisha ndoto za kijana huyu

Na Adrian Mgaya.

Inasikitisha kwa kweli Ketson John, aligongwa na pikipiki ikamkata mguu na kumtupia kwenye mataluma ya reli, kabla hata hajainuka treni ikampitia na kumkata mguu uliosalia...

Mtazame hapa kupata undani wa maisha yake.

Comments

Popular posts from this blog

KWANINI SHERIA HAIWABANI WANAOKAA VITI VYA NYUMA KUFUNGA MKANDA?