Tuwalinde watoto na ajali za barabarani

Na Adrian Mgaya

Amend Tanzania inatengeza miundo mbinu ya kupunguza ajali za barabarani kama vile kuweka alama za barabarani , matuta. Simulizi hii fupi ni ya shule ya Mpakani jijini Dar es Salaam ambapo kuweka alama hizo za barabarani kumeweza kupunguza ajali za barabarani.




Comments

Popular posts from this blog

KWANINI SHERIA HAIWABANI WANAOKAA VITI VYA NYUMA KUFUNGA MKANDA?