Tuwalinde watoto na ajali za barabarani
Na Adrian Mgaya
Amend Tanzania inatengeza miundo mbinu ya kupunguza ajali za barabarani kama vile kuweka alama za barabarani , matuta. Simulizi hii fupi ni ya shule ya Mpakani jijini Dar es Salaam ambapo kuweka alama hizo za barabarani kumeweza kupunguza ajali za barabarani.
Amend Tanzania inatengeza miundo mbinu ya kupunguza ajali za barabarani kama vile kuweka alama za barabarani , matuta. Simulizi hii fupi ni ya shule ya Mpakani jijini Dar es Salaam ambapo kuweka alama hizo za barabarani kumeweza kupunguza ajali za barabarani.
Comments
Post a Comment