MATUKIO KATIKA PICHA: WIKI YA USALAMA BARABARANI.
Na Adrian Mgaya
Maandamano ya wadau wa usalama barabarani, wakiwa wamebeba
mabango yenye ujumbe mbalimbali juu ya usalama barabarani. Katika ufunguzi wa
wiki ya usalama barabarani katika viwanja vya mashujaa mkoani Kilimanjaro.
Vijana wa haraiki wakitoa burudani wakati wa maadhimisho ya wiki ya usalama barabarani.
Zahara
Tunda (road safety fellow) akiwa katika majukumu ya ukusanyaji taarifa wakati
wa maadhimisho ya wiki ya usalama barabarani.
Comments
Post a Comment